quarter way peeled banana representing a penis

Mbinu za kunyonya jongoo/uboo sawa

Kama wataka kumchizisha mwenzako, mnyonye!. Kunyonya jongoo huwa njia moja ya kupandisha hamu ya ngono na  yaeza mpendeza anayenyonywa na yule anayenyonya pia.

Shida ya hii kazi ni kwamba wengi wetu hupenda kufanyiwa ila wao si wepesi wakufanyia mwenzao.

Ukiwekwa kwa mizani ya moja hadi tano, moja ikiwa chini Zaidi na tano ikiwa juu , ueledi wako katika  hii shughuli ni gani?

Kusaidia wale wa alama ya tatu kurudi chini kwa shughuli ya kunyonya jongoo, tumekutayarishia mbinu saba za kukusaidia uwe bora zaidi.

1. Angalau onyesha kuwa una hamu

Hebu piga picha kunyonywa jongooo na mtu ambaye ameboeka na ile shughli. Haileti shangwe, sau vipi?

Sasa fikiria kufanyiwa shughli hii na mwenzako aliyechangamka na an morali. Yatamanisha, au vipi?

Ikiwa kazi yakunyonya jongoo haikufurahishi, basi usifanye. Tafuta njia tofauti yakumfurahisha mwenzako. Kwa wale wenye uwazi wa akili, basi kuonyesha hamu na kuchangamka kutatusaidia kuanza shughli hii.

Fikiria vile huwa unafurahia ukinyonya peremende ya kijiti? Basi fikiria  hivyo na utumie mbinu hiyo hiyo kwasababu hali hii itampandisha nyege  mwenzako afurahie unapomshughulikia.

Ili kuonyesha hamu na morali ukiwa kwa shughli hii mtazame mwenzako kwa jicho la kumtamani ukitoa sauti za chini.

2. Kujiskia vizuri muhimu

Hii ni nzuri hasa kama unanyonya jongoo ukiwa umepiga magoti

Unataka kuwa na utulivu ili kuzuia machungu na wasiwasi ambao huenda ukaharibu shughli. Waweza kutumia mto ukipiga magoti.

3. Polepole na kwa umakini

Nenda kwa utaratibu ,kama unamvua nguo basi nenda polepole na hii haimaanishi uchukue muda mrefu .Taraibu kiasi ili umpandishe hamu..

Kabla kumnyonya mjulus wake basi mbusu kwa mapaja, kutumia mikono mshike makenge na mjulus wake na uyapapase, yanyonye na umuomgeleshe kwa usemi wa kutaka ngono..

4. Tumia mate kama maji telezi

Japo haijashauriwa kutumia mate ukifanya ngono yakuingiliana, unawezatumia mate kama maji telezi ukifanya ngono ya mdono. Ukiwa una mnyonya mjulus, hakikisha mjuus umesimika kisha utelezeshe mdomo juu hadi chini n a ndani na nje.

5. Tutumia mkono na mdomo..na usisahau kutumia ulimi

Unaweza kutumia mkono kumshika chini ya makende hadi ahisi raha, huku mdomo ukimpa raha sehemu ya juu ya mjulus.

Jambo la muhimu ni uhakikishe umepata mtiririko mzuri. Hakikisha unampa utamu bila kumvuta mjulus pande mbili tofauti.

Usitumie meno kuuma, hakikisha unatumia mdomo kunyonya mjulus na meno hayatumiki kwa shughli hii.

Ikiwa wewe ni hodari katika kuchanganya kazi nyingi kwa wakati mmoja, unaweza kutumia mkono wako ulio huru ili kujichangamsha pia. Inahitaji ujuzi lakini inaweza kuwa ya kuleta utamu kabisa kwenu nyote wawili.

Ulimi ni kiungo muhimu sana hapa kwa hivyo usisahau kuutumia vizuri. Unaweza kutumia ulimi wako kulamba mjulus wake au kuchezesha kwa ncha ya mjulus wake.

Usiume kwa meno yako, hakikisha kwamba midomo yako inafunika meno yako ili yasigusane na uume.

6. Dhahabu zinastahili upendo pia!

Usisahau makende. Nayo yan haki pia!

Ujanja wa haya magololi ni kuyapapasa kwa upole sana huku ukiyanyonya. Hili likiendelea nazo sehemu nyengine zinachezacheza na mjulus.

7. Kumeza au kutomeza?

Hii ni juu yako.

Wanaume wengi hupenda wakati mpenzi wao anameza majimaji hayo.

Walakini, ikiwa si mambo yako, usipate pressure kuifanya.

Je, wewe ni hodari wa kunyonya mjulus? Tuonyeshe mbinu zako kwa kuongezea hoja katika sehemu ya maoni.

did you find this useful?

Tell us what you think

LoveMatters Africa

Blush-free facts and stories about love, sex, and relationships