Love Matters Kenya
AUDIO: Why does my vagina fart?
To watch more videos, click this link PWD VIDEOS
Nancy discovers that her 14-year-old son has been watching porn
Recalling the incident, Muthoni shared, “I simply thought that my son had been involved in a school fight or had not done his homework or – something within this line.” Upon her arrival at the school in Nairobi, Muthoni was […]
Step-by-step guide on starting sex talk with your child
Very few of us have good examples of how to have the talk with our kids, because for our own parents sex was a taboo, something we were simply told to abstain from with no information or place to turn […]
8 reasons why sexuality education is important
As parents, we often think of conversations about sexuality and relationships as something awkward, routine or even harmful. Many of us even try to avoid the conversation altogether. If you need inspiration for why you should starting having these very […]
Maumbo na ukubwa wa mboro au mjulusi
Ukiwa haujasimika, uume huwa na urefu wa kati ya sentimita 6 na 13. Iliyosimama kwa kawaida iko mahali Fulani urefu wa kati ya 7 na 17. Uume uliosimama wastani ni kama sentimita 12. Mjulusi mdogo hukua zaidi kwa saizi pindi […]
Je naweza kumeza vidonge dhararu/E-pills kabla ya ngono?
Kidonge hicho cha dharura kinatakikana kutumika siku tano baada ya kufanya mapenzi bila kinga. Lakini Naomi anashangaa kama ni sawa kumeza hicho kidonge kabla ya ngono. Jee hilo ni sawa?
Ukweli kuhusu mbinu za kupanga uzazi za dharura
Vidonge vya dharura/E-pills, ambazo pia zinaitwa Asubuhi baada ya shughli/morning after ama mbinu za dharura zakuzuia mimba ni dawa ambazo unaeza tumia kama mumekulana bila kinga kuzui kuzuia boll.
Je mfumo wa kutoa mjulus kabla kumwaga ni dhabiti?
Njia hii inataka mtu awe chonjo na timing yake na pengine uwe na bahati chungu nzima. Kutoa mjulus kabla kumwaga inamaanisha kutoa uume kutoka kwa tupu ya mke kabla ya kumwaga.
Jamaa langu linaeza kufeel IUD wakati tunadinyana?
Je unahofu kuwa jamaa lako litagusa Kifaa cha Ndani cha Kizazi/IUD wakati wa kukudinya?
Sababu nane za kuchelewa Kwa kunyesha
Unawasiwasi kwa kuwa umechelewa kunyesha alaa?. Usianze kuwekeza katika kununua vipande vya nguo, kukosa kunyesha au kuchelewa kunyesha kunasababishwa na sababu nyingi sana mbali na mimba.
Kwa nini wanawake hupiga kelele wakati wa kudinywa?
Ni wakati gani wanawake hutoa kelele nyingi wakati wa kukulana? Wakati wamefika kilele? Au mtu wao anakaribia kushusha? Jiandae Kwa ukweli!